Wednesday, October 3, 2012

BUS LA DAR EXPRESS LAWAKA MOTO NJIAPANDA YA TANGA (SEGERA)

Basi la  Dar Express limepata ajali ya kuungua moto jana asubuhi katika njia panda ya Dar, Arusha, Tanga (Segera) hakuna mtu aliyejeruhiwa wala kupoteza maisha. Katika ajali hiyo mizigo yote iliteketea kwa moto huo ambapo abiria wengi waliokuwamo kwenye gari hilo walikuwa ni wanafuzi. lilitokea Rombo mkoani kilimanjaro.

No comments: