Sehemu
ya umati wa wakazi wa Iringa uliofurika jana kwenye uwanja wa Mwembe
Togwa wakati wa utambulisho wa huduma mpya ya airtel Supa5 yenye lengo
la kutoa huduma tano nafuu za huduma za mawasiliano kupitia
Airtel.huduma hiyo itatambulishwa hivi karibuni katika mkoa wa Arusha na
baadaye jijini Mwanza.Airtel Jiunge na Supa
Sunday, June 10, 2012
Huduma mpya ya airtel jiunge Supa5 yawavutia wakazi wa iringa
Mmoja
wa Mwanamazingaombwe wa mjini Iringa aliyejitambulisha kwa jina la
Almas a.k.a Afande Sele akionesha akadabla akadabla zake mbele ya umati
wa wakazi wa Iringa waliojitokeza kwa wingi jana jioni kwenye uwanja wa
Mwembe Togwa,mjini Iringa wakati wa utambulisho wa huduma mpya ya
airtel Supa5 yenye lengo la kutoa huduma tano nafuu za huduma za
mawasiliano kupitia Airtel.huduma hiyo itaendelea kutambulishwa tena
katika mkoa wa Arusha na baadaye jijini Mwanza
Monday, June 4, 2012
Subscribe to:
Posts (Atom)